Revelation of John 4:8

8 aKila mmoja wa hawa viumbe wanne wenye uhai alikuwa na mabawa sita, na kujawa na macho pande zote hadi chini ya mabawa. Usiku na mchana hawaachi kusema: “Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu, ni Bwana Mwenyezi Mungu, aliyekuwako, aliyeko na atakayekuja.”

Copyright information for SwhKC